12:53 PM
0
Vatican imeamuru bawabu wa zamani wa Baba Mtakatifu Benedict ashtakiwe kwa wizi wa nyaraka za siri kutoka ofisi binafsi ya Baba Mtakatifu.

Paolo Gabriele na mfanyakazi mwingine wa Vatican Claudio Sciarpelletti wanashutumiwa kuiba hundi yenye thamani ya dola za kimarekani laki moja.

Bawabu huyo alikamatwa mwezi Mei mwaka huu kufuatia uchunguzi wa taarifa za shutuma za rushwa katika mako makuu Vatican ya kanisa katoliki duniani.

Amekiri kufanya wizi wa nyaraka hizo akisema kuwa alidhani alikuwa akilisaidia kanisa kwa kufichua maovu hayo.
POPE BENEDICT WA KUMI NA SITA....

POPE Benedict akiwa na malkia wa Jordan anaitwa RANIA....

Hili ndilo jumba analoishi POPE au PAPA...

Picha ya VATICAN kutoka juu....

Nchi ndogo kabisa barani ULAYA, inaitwa VATICAN...

0 comments:

Post a Comment