3:05 AM
1
Washindi kwaya wakisifu......

Mzee wa kanisa la KLPT parish ya  Mbezi Luis, Bi G.Henjewele akifuatilia ibada kwa umakini.


Members wa Jordan River Band wakisifu...

Washirika wa parishi ya KLPT Mbezi Luis wakiwa makini na ibada...

Mapacha wa Batwenga wakiwa kazini... VIPAJI ASILIA

Washindi kwaya, kama lilivyo jina lao! hawana utani kabisa...!

Kutoka kushoto, Mama Emmanuel (mzee wa kanisa), Marry Dongwe (mama mchungaji) na Mchungaji Meshack Bent Dongwe, wakiabudu....
Newer Post
Previous
This is the last post.

1 comments: